Posts

Showing posts from July 15, 2015

MKUU WA MKOA WA KATAVI AFUTURISHA,MAMIA KADA MBALIMBALI ALIOWAARIKA WAHUDHURIA AWAASA KUDUMISHA AMANI

Image
Mkuu wa Mkoa akizungumza na kada mbalimbali aliowaarika kushiriki kwa pamoja katika Ikulu ndogo Mjini Mpanda Mkuu wa Mkoa katikakti wakifuturu Mkuu wa Mkoa wa Katavi wa NNE kutoka kulia katika picha wakiswali  Na.Issack Gerald-Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Dk. Ibrahim Hamisi Msengi amesisitiza kuwepo kwa amani, upendo na ushirikiano na kusema kuwa  ni fursa nzuri kwa watu kufanya shughuli za maendeleo.

WANANCHI WILAYANI MLELE WATAKIWA KUFICHUA WANAOFANYA VITENDO VYA UKATIRI

Image
Katikati ni mkuu wa Wilaya ya Mlele Issa Njiku akifafanua jambo NA.Issack Gerald-Mlele Wakazi kata ya Kibaoni Wilayani Mlele Mkoani Katavi wametakiwa kushirikiana na vyombo vya dora kutoa taarifa za vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia.