Posts

Showing posts from August 19, 2016

WATANO KATAVI WAHUKUMIWA MIAKA 5-20 KWA TUHUMA ZA NYARA ZA SERIKALI,MWINGINE AACHIWA HURU,WAKILI WAO ASEMA WATAKATA RUFAA

Na.Vumilia Abel-Mpanda MAHAKAMA ya wilaya mkoani Katavi imewahukumu watu 5 miaka 5 hadi 20   na mmoja kuachiwa huru waliokuwa wakikabiliwa na   makosa matatu tofauti likiwemo la kukutwa na nyara za serikali bila kibali.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUWASILI KATAVI KESHO,WANAKATAVI WAOMBWA KUJITOKEZA KUMPOKEA.

Image
Na.Issack Gerald-Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Muhuga   ametoa rai kwa wananchi Mkoani Katavi kujitokeza kwa wingi kumpokea waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa anayetarajia kuwasili kesho kwa ndege Mkoani Katavi kwa Ziara ya kikazi ya siku nne. Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga(PICHA NA.Issack Gerald) Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majliwa(PICHA NA.Issack Gerald)