Posts

Showing posts from December 18, 2015

VIKUNDI 14 VYA WAJASILIAMALI 60 MPANDA WAKOPESHWA MILIONI 27

Na.Agness Mnubi-MPANDA. WAJASIRIAMALI   60   sawa na   vikundi 14 kutoka Wilayani Mpanda na Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamepata mkopo wa sh. Million 27 kupitia Mfuko wa Wajasiriamali Mpanda(METF).

SERIKALI YA TANZANIA KUZIMA SIMU BANDIA IFIKAPO JUNI,2016

Image
Na.Katibu Mkuu Kiongozi-DAR ES SALAAM Katibu Mkuu kiongozi Omben Sefue kwa kushirikaana na mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imetoa tamko rasmi kuwa simu zote   mkononi zisizo halali yaani Bandia zitafungwa kutmumika ifikapo mwezi juni mwaka 2016.                                                        

WATOTO 62 WENYE MAHITAJI MAALUMU WAIBULIWA MPANDA,WAMO ALBINO WAWILI WALIOPELEKWA SUMBAWANGA KUSOMA

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA Jumla ya watoto 62 wenye mahitaji maalumu wakiwemo wawili wenye ulemavu wa ngozi albino wamefichuliwa Wilayani Mpanda wakiwa katika mazingira yanayowanyima haki zao za msingi ikiwemo kupatiwa   elimu kwa kipindi cha mwezi Juni hadi Desemba mwaka huu.                                             Baadhi ya watoto wenye mahitaji maalumu Wilayani Mpanda.PICHA Na.Issacka Gerald

JESHI LA POLISI KATAVI LAANZA KUTOA TAHADHARI MSIMU WA SIKUKUU 2015

Na.Issack Gerald-Katavi Wakazi Katika Mkoa wa Katavi wametakiwa kuepukana na Mazingira hatarishi Katika kipindi hiki cha kuelekea Kipindi cha sikuku za Krismasi na mwaka mpya.

KAMATI ELIMU JUMUISHI MPANDA KUFANYA KIKAO LEO

Na.Issack Gerald-MPANDA Kamati ya kushughulikia elumu jumuishi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,leo wanatarajia kukutana na wadau wa elimu hiyo kujadili masuala mbalimbali.