Posts

Showing posts from September 30, 2016

UKOSEFU WA FEDHA,WAZEE KATAVI WASHINDWA KUHUDHURIA MAADHIMISHO YA KESHO SIKU YA WAZEE DUNIANI YATAKAYOFANYIKA MKOANI MBEYA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo mashama-Katavi UMOJA wa wazee Mkoani Katavi umeshindwa kupeleka wawakilishi katika maadhimisho ya Siku ya wazee Duniani yanayotarajiwa kufanyika kitaifa kesho Mkoani Mbeya. Moja ya mikitano iliyokuwa ikijadili maslahi ya wazee(PICHA NA Issack Gerald )Septemba 2014                                            

MATATIZO MENGI BADO SOKO KUU LA WILAYA YA MPANDA

NA.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi SOKO kuu la Mpanda,mkoani Katavi linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo msongamano wa wafanyabiashara, mpangilio holela na ukosefu wa taa za kusaidia ulinzi.

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AONGOZA HARAMBEE KUWACHANGIA WAATHIRIKA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA SHILINGI MIL.4,656,500 ZAPATIKANA.

Image
NA.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi MKUU wa Wlaya ya Tanganyika Bw.Saleh Mbwana Mhando ameongoza harambee ya kuwachangia waathirika wa tetetmeko la ardhi Mkoani Kagera ambapo Shilingi MIL.4,656,500/=zimepatikana ambapo kati ya hizo shilingi MIL.4,416,000/= ni fedha taslimu.