Posts

Showing posts from July 24, 2015

UWT KATAVI WAFANYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUMU

Na.Issack Gerald-Katavi MKUTANO Wa umoja wa wanawake wa CCM (UWT)Mkoani Katavi   umewateua Taska Restituta Mbogo na Anna Richad Lupembe   kuwa Wagombea wa nafasi ya Ubunge Vitimaalum kwa Mkoa wa Katavi.

MTOTO ATUPWA NA KUCHOMWA MOTO- KATAVI

NA.Meshack Ngumba-Mpanda MTOTO anayekadiliwa kuwa na umri wa Miezi 6 hadi 7 ametupwa na Kisha kuchomwa  moto Usiku wa Kuamkia Leo  Katika Mtaa wa Maridadi Kata ya kashaulili Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi.