Posts

Showing posts from July 23, 2017

JESHI LA POLISI WILAYANI MPANDA MKOANI KATAVI LATAKA ULINZI NA USALAMA UANZIE KATIKA FAMILIA-Julai 23,2017

JESHI la polisi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,limewataka wananchi kuhakikisha ulinzi na usalama vinaanzia katika familia.

MKOANI KATAVI ELIMU KUHUSU RUSHWA YAHITAJIKA ZAIDI-Julai 23,2017

Image
VIONGOZI  wametakiwa kuisaidia jamii kujua umuhimu wa kutoa taarifa pindi  vitendo vya utoaji wa rushwa vinapotokea.