Posts

Showing posts from October 9, 2017

WIZARA YA AFYA,MAENDELEO YA JAMII,JINSIA, WAZEE NA WATOTO YATOA TAARIFA KUHUSU SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE KITAIFA

Na.Issack Gerald Mkoa wa Katavi umeendelea kutajwa kuwa kinara wa mimba za utotoni kwa asilimia 45.

IDADI YA WALIOKUFA AJALI YA HIACE YAFIKIA 12

Image
Idadi ya watu waliokufa baada ya Toyota Hiace kuzama Ziwa Victoria imeongezeka na kufikia 12.

ASKARI WA WANYAMAPORI MKOANI KATAVI WATUHUMIWA KUUWA NA KUJERUHI

MTU mmoja amepoteza maisha kwa madai ya kupigwa risasi na askari wa maliasili  na wengine wanne kujeruhiwa katika kitongoji cha Mnyamasi wilayani Tanganyika mkoani Katavi,wakati wa oparesheni ya kuwaondoa wakazi wanaodaiwa kuvamia msitu wa hifadhi

HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO YAKABIDHI MSAADA WA BAISKELI 20 ZENYE THAMANI YA MILIONI 11 KWA WATU WENYE ULEMAVU

Na.Issack Gerald-Nsimbo Katavi HALMASHAURI ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi,imekabidhi msaada wa baiskeli ishirini za tairi tatu zenye thamani ya shilingi milioni kumi na moja kwa watu wenye ulemavu katika halmashauri hiyo.