Posts

Showing posts from May 21, 2016

DUKA LATEKETEA KWA MOTO MPANDA,ZIMAMOTO WAENDELEA NA UCHUNGUZI WA CHANZO

DUKA moja limeteketea kwa moto na kuungua baadhi ya bidhaa zilizokuwemo ndani katika maeneo ya soko la Mpanda hoteli mkoani Katavi.

KIKOSI CHA JADI KIJIJI CHA KAWANZIGE MPANDA CHAAPISHWA KUAPMABANA NA UHARIFU

KIKOSI cha ulinzi wa jeshi la jadi maalufu kama sungusungu katika kijiji cha Kawanzige kata ya Kakese manispaa ya Mpanda kimeapa kuendelea na mapambano dhidi ya uhalifu katika eneo hilo.

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA MPANDA USIKU WA KUAMKIA LEO MEI 21,LAPITISHA WATUMISHI 13 KATI YA 16 WALIOKUWA WAMESIMAMISHWA KAZI KUKATWA MISHAHARA KUFIDIA HASARA ILIYOTOKANA NA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA MIRADI ZA MANISPAA,MMOJA AFUKUZWA KAZI,WENGINE WATUPIWA TAMISEMI IWAPANGIE INAKOTAKA MBALI NA MANISPAA

Baraza la madiwani katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ,limepitisha maamuzi   ya kukata mshahara wa watumishi 13 kati ya 16,waliokuwa wamesimamishwa kazi na baraza hiloFebruari 26 mwaka huu,kutokana na tuhuma mbalimbali zikiwemo utumiaji ovyo wa fedha za manunuzi ya gari la kuzoa taka pamoja na ubadhilifu wa fedha ya skimu ya umwagiliaji maji ya kakese ambapo pia watumishi watatu wameshushwa vyeo.