Posts

Showing posts from September 21, 2015

UHABA WA MAJI ZAIDI YA WAKAZI 750 WAATHIRIKA

Issack Gerald-Katavi ZAIDI YA WAKAZI 750 waishio mtaa wa Kampuni kata ya Misunkumilo wanakabiliwa na   ukosefu wa   maji safi na salama hali inayosababisha kutumia muda mwingi kutafuta maji kuliko kufanya shughuli nyingine za maendeleo.

ZAIDI YA SILAHA 17 ZAKAMATWA,WATUHUMIWA WANNE WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Issack Gerald-Katavi Zaidi ya silaha 17 zimekamatwa na kusalimishwa kwa jeshi la polisi Mkoani Katavi huku watu wanne wakifikishwa Mahakamani kwa kipindi cha mwezi Juni hadi Septemba Mwaka huu.