Posts

Showing posts from February 22, 2016

WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA MAAFA IRINGA YA SH. MILIONI 86/-

Image
Na.Afisa habari Ofisi ya Waziri Mkuu WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea misaada mbalimbali yenye thamani ya sh. milioni 85.88/- kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko kwenye vijiji vya kata ya Mlenge, tarafa ya Pawaga,  wilaya ya Iringa vijijini mkoa wa Iringa.                                         

WAENDESHA VYOMBO VYA MOTO BARABARANI MKOANI KATAVI WALIZWA FAINI MIL.15.6 KWA MWEZI MMOJA WATUNISHA MFUKO WA SERIKALI.

Image
Na .Issack Gerald-Katavi Jumla ya Shilingi(15,600,000) Milioni kumi na tano na laki sita zimepatikana kama tozo ya makosa 576 yaliyotokana na waendesha vyombo vya moto kukiuka sheria za usalama barabarani kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Februari mwaka huu.