Posts

Showing posts from March, 2016

MGOGORO WA ENEO LA UCHIMBAJI MADINI MTAA WAELEKEA PAZURI

Na.Issack Gerald-Mpanda Mkuu wa wilaya ya Mpanda Paza Mwamlima amesema mgogoro wa ardhi katika eneo la machimbo ya kokoto na madini aina ya dhahabu uliopo katika kijiji cha Kampuni   unatafutiwa ufumbuzi.

C.W.T KATAVI WAANDAMANA KWA MKURUGENZI MANISPAA KUDAI ZAIDI YA MILIONI 100 WANAZODAI KWA MIAKA 3 BILA MAJIBU

Na.Issack Gerald-Mpanda CHAMA cha walimu mkoa wa katavi (CWT) kimefanya maandamano   katika ofisi za mkurugenzi wa manispaa ya mpanda kwa lengo la kushinikiza kulipwa madai yao.

ZAIDI YA MATUKIO 27 YALIYOTIKISA KATAVI NA NJE YA KATAVI MWEZI MACHI 2016 NA P5 TANZANIA

WATU WATANO WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO YENYE TAMANI YA MIL.60,280,650/= KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI WILAYANI MLELE Katika tukio la kwanza habari zilizotufikia Machi 4 mwaka huu, Jeshi la Polisi Wilayani Mlele Mkoani Katavi lilimkamata Bw. Robert Nyakie(40) mkazi wa kijiji na Kata ya kanoge barabara ya tatu kwa tuhuma ya kukutwa na meno ya tembo kinyume na sheria.

HALMSHAURI YA WILAYA YA MPANDA WAIBUKA NA TUZO YA CHETI KILICHOAMBATANA NA MIL.214,346,000/=

Na.Issack Gerald-Katavi HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpanda imepokea cheti na fedha kiasi cha shilingi   Million mia mbili kumi na nne mia tatu arobaini na sita elfu    kutoka Wizara ya elimu ,sayansi na mafunzo ya ufundi kwa kukidhi    vigezo vya   matokeo ya utendaji kazi wa kila siku.

VIONGOZI STENDI KUU YA MABASI MANISPAA YA MPANDA WAMWANGUKIA MKUU MPYA WA MKOA KATAVI KUTATUA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU INAYOWAKABILI,BARABARA KUTOKA MPANDA HADI TABORA BADO PASUA KICHWA

Image
Na.Issack Gerald-Katavi                                                               

HABARI KUU 6 ZA WIKI ZILIZOTOKEZA KATAVI MACHI 21-27,2016 ,P5 TANZANIA MEDIA INAKUSOGEZEA

WAKAZI WAISHIO MLIMA WA LIAMBA LYAMFIPA WATAKIWA KUHAMA KABLA NGUVU YA JESHI KUTUMIKA. Na.Issack Gerald-Mlele                                                                 Baadhi ya wakazi waliojenga nyumba na kuanza kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo katika mlima wa Liamba Lyamfipa uliopo Wilayani Mlele Mkoani Katavi wametakiwa kuhama mara moja sehemu hiyo.

KAMANDA KIDAVASHARI ATOA KAULI KUHUSU WANAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHARIFU MSIMU WA SIKUKUU YA PASAKA

Na.Issack Gerald-Katavi JESHI la Polisi Mkoani Katavi limetoa onyo kwa kikundi au mtu yeyote atakayesababisha vitendo vya furugu, fujo ama vitisho vinavyosababisha uvunjifu wa amani katika kipindi chote cha kusheherekea sikukuuu ya pasaka.

DIWANI AWAMWAGIA SIFA WANANCHI WAKE USHIRIKI WA SHGHULI ZA MAENDELEO.

Na.Alinanuswe Edward WAKAZI wakata ya makanyagio manispaa ya Mpanda wameonyesha mwamko wa ushiriki katika shughuri za maendeleo kupitia utekelezaji wa mpango wa elimu bure.

DAKTARI ANAYETUHUMIWA KUSABABISHA KIFO CHA MWANANCHI KATAVI KWA KUTOMHUDUMIA AJIFUNGUA MTOTO.

DAKTARI wa zahanati ya Kapalamsenga wilayani Mpanda, anayetuhumiwa na wakazi wa kijiji hicho kusababisha kifo cha   Bi.Ana Kilangi (49) kwa kugoma kumhudumia, amejifungua salama.

WIKI YA MAJI KATAVI,WANANCHI WATAKA MAADHIMISHO YATUMIKE KUWALETEA MAJI SAFI NA SALAMA.

Na.Issack Gerald-Katavi BAADHI ya Wakazi wa Manispaa ya Mpanda wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji inayowakabili katika maeneo yao.

RPC KATAVI ATAKA SILAHA ZISALIMISHWE

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limewataka wananchi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja silaha hizo katika vituo vya Polisi vilivyopo karibu na makazi yao.

WANANCHI WILAYANI MPANDA WALIOMBA JESHI KATAVI KUONGEZA KASI YA KUZUNGUKIA MITAA KUIMARISHA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO.

Na.Issack Gerald-Katavi Jeshi la Polisi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,limeombwa kupita mara kwa mara katika mitaa ambayo wamekuwa hawapiti mara kadhaa ili kuimarisha usalama na kukomesha udokozi wa mali za raia unaoendelea.

WAWILI WAKAMATWA WAKITUHUMIWA KUIBA MTOTO WILAYANI MPANDA

Na.Vumilia Abel SERIKALI   ya kijiji cha Ikaka kata ya Mnyagala Wilayani Mpanda mkoani katavi kimewakamata watu wawili wanaofahamika kwa majina ya Edefance John na Januari Kisulo wote wakazi wa kijiji cha   Isengule kata ya Ikola   kwa tuhuma za wizi wa mtoto mwenyeumri wa miaka 13.

HALI YA UKAHABA NCHINI TANZANIA

Image
Wasichana wapatao 500 wanaodaiwa kufanya biashara ya ukahaba nchini Tanzania pamoja na wateja wao zaidi ya 200 wanashikiliwa na polisi nchini. Walikamatwa kufuatia msako unaoendelea kukomesha biashara hiyo ambayo haikubaliki kwa mujibu wa sheria nchini humo. Hii ni idadi kubwa kuwahi kukamatwa katika vita dhidi ya biashara ya ukahaba nchini humo.                                                      Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Simon Sirro

WANANCHI KATAVI WAPONGEZA HOTUBA YA RAIS

Image
Na.Issack Gerald-Katavi BAADHI Ya wakazi Mkoani Katavi wamepongeza agizo la   Rais John Pombe Magufuli kwa wakuu wa Mikoa Kuhakikisha Kila mtanzania anafanya Kazi.                                                   Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi

WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI MPANDA WAKITUHUMIWA WIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA SIMU

Na.Issack Gerald-Mpanda Watu wawili wakazi wa kijiji cha Ikaka   kata ya Mnyagala wilayani Mpanda mkoani Katavi,wamefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda wakikabiliwa na shtaka la wizi wa fedha kwa njia ya simu   ambayo ni mali ya Charles Lubasha mkazi wa Kakese.

WAKUU WAPYA WA MIKOA WAAPISHWA,HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KITANZI KWAO

Image
Na.Issack Gerald Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametoa siku kumi na tano kwa Wakurugenzi wa halamshauri zote nchini Kufuta Majina ya Wafanyakazi hewa wanaolipwa Mishaha.                                             Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga kuwa mkuu wa mkoa wa Katavi,Hafla hiyo fupi ya kuwaapisha Wakuu hao wa Mikoa imefanyika leo Ikulu,jijini Dar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali.

WANANCHI WAIOMBA SERIKALI WILAYANI MPANDA KUSAJIRI SHULE WALIYOIANZISHA KWA AJILI YA WATOTO

Na.Vumilia Abel-Mpanda WANANCHI wa Kijiji cha Ikaka A Kata ya Ikaka Wilayani   Mpanda Mkoani Katavi wameiomba serikali   kusajiri   shule iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi pamoja na kutatua changamoto za kielimu zinazowakabili kijijini hapo.

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA YA UCHOMAJI NYUMBA MPANDA

Na.Mgeni Shabaani-Mpanda MTU mmoja mkazi wa tambukareli Kata ya Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi amefikishwa katika mahakama ya mwanzo mjini Mpanda akikabiliwa na shtaka la kuchoma moto nyumba na mali ya Anatalia Golikondwe mkazi wa tambuka reli.

UTEUZI WAKUU WA MIKOA RUKWA,KATAVI,KIGOMA NA KAGERA WANAJESHI WATUPU(KATIBU TAWALA NA MKUU WA MKOA KATAVI NI MAJENERALI WA JESHI)

Image
Na.Issack Gerald Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli Machi 13 amefanya uteuzi wa wakuu wa Mikoa 26 wakiwemo 13 wapya na 13 waliokuwa katika serikali ya awamu ya nne ya serikali iliyokuwa ikiongozwa na Rais Dk.Jakaya Mrisho Kikwete.                                                        Mkuu wa Mkoa wa Mpya wa Mkoa wa Katavi Jeneral Raphael Mugoya Muhuga(PICHA NA.Issack Gerald)                                             Jeneali Paul Chagonja Katibu Tawala Mpya Mkoa wa Katavi aliyeteuliwa Januari 29,2016 (PICHA NA.Issack Gerald)                                                          Paul Chagonja katibu Twala mpya Mkoa wa Katavi aliyeteuliwa Januari 29,2016 (PICHA NA.Issack Gerald)

RAIS MAGUFULI ATEUA WAKUU WAPYA WA MIKOA, WAMO 13 WAPYA,Dk.MSENGI WA KATAVI AONDOLEWA ALETWA RAPHAEL MUHUGA,PAUL MAKONDA AULA DAR

Image
Na.Issack Gerald Rais wa Tanzania amewateua wakuu 13 wapya wa mikoa miongoni mwa orodha mpya ya wakuu 26 wa mikoa iliyotangazwa leo na ikulu ya rais.                                                     Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli

JESHI LA ZIMAMOTO WALALAMIKIWA NA WAKAZI KATAVI KWA KUWAPA VITISHO WENYE MFUMO WA UTAPELI

Image
NA.Issack Gerald-Katavi Wafanyabiasha wa soko la Buzogwe wamelalamikia hatua ya kikosi cha zima moto Manispaa ya Mpanda mkoani wa Katavi   kwa kuwatoza kodi ambayo haijulikani inakopelekwa pamoja na kutoelimishwa juu ya michango hiyo. Mwonekano wa gari la zimamoto (PICHA NA Issack Gerald)                               

KUKMBUKUMBU YA MIAKA 32 YA KIFO CHA WAZIRI MKUU MZALENDO HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE

Image
(Na.Issack Gerald-P5 TANZANIA MEDIA) Hayati Sokoine alizaliwa mnamo mwaka 1/8/1938 katika wilaya ya MAASAI LAND ambayo kwa sasa inafahamika kama wilaya ya Monduli iliyopo mkoani Arusha. Waziri Mkuu wa awamu ya 3 na 5 wa Tanzania                  

MGONJWA ALIYEMNASA KIBAO HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA MKOANI KATAVI MUUGUZI ATOROKA HOSPITALINI.

Na.Issack Gerald-Katavi Mgonjwa aliyempiga Bi.Recho Matinya ambaye ni muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wakati mgonjwa huyo akiwa amelazwa katika Hospitali hiyo,ametoroka kutoka hospitalini hapo.

UJUMBE WA VIONGOZI WA KITAIFA MRADI WA ELIMU JUMUISHI WAWASILI KATAVI KWA ZIARA,WAZUNGUMZA NA KAMATI YA KULEA BALAZA LA WATOTO CHANGAMOTO ZAIBULIWA

NA.Issack Gerald-Mpanda Katavi Kamati ya kulea balaza la watoto wanaoishi katika mazingira magumu yenye mradi ujulikano kama mradi wa elimu Jumuishi Wilayani Mpanda Mkoani Katavi,wamekutana leo na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalumu.

ZIARA ZA WABUNGE WA KATAVI ZASHIKA KASI KATAVI,MBUNGE VITI MAALUMU ACHANGIA SOLA KITUO CHA AFYA MPANDA

Na.Issack Gerald-Mpanda Kituo cha afya cha Mwangaza kinachomilikwa na manispaa ya Mpanda mkoa wa katavi kimekuwa na changamoto mbalimbali   ikiwemo kukosekana kwa vitendea kazi na kupelekea wagonjwa kukosa humuma iliyo bora.

ONA HUU UTUMBUAJI MAJIPU RUKWA,KESHO WAPI?ENDELEA KUFUATILIA P5 TANZANIA MEDIA

Image
Sumbawanga WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amewasimamisha kazi maofisa watano wa Idara ya Misitu mkoani Rukwa kwa kushindwa kusimamia vema na kudhibiti uvunaji haramu wa magogo.        Baadhi ya magogo yaliyopelekea utumbuaji majipu kufanyika(PICHA NA.Issack Gerald)                                                                

WAGONJWA WAANZA KUTEMBEZA KICHAPO KWA WAUGUZI HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA

Na,Meshack Ngumba-Mpanda KUFUATIA tukio la jana la Muuguzi   Katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda Kupigwa na Mgonjwa aliyekuwa akimuhudumia, Serikali imeshauriwa Kuimarisha Usalama wa watumishi Katika maeneo yao ya Kazi.

WANAWAKE WILAYANI MPANDA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUFANYA USAFI HOSIPTALINI

Na.Issack Gerald-Mpanda WANAWAKE Mkoani Katavi,wameungana na wanawake wengine duniani kuadhimisha siku ya wanawake duniani.

WANNE WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO KATAVI

Na.Issack Gerald-Mlele Jeshi la Polisi Mkoani Katavi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za kukutwa na vipande vitatu vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilogramu 11 vyenye thamani ya shilingi milioni 32,530,650 /=ambayo ni sawa na tembo 01 aliyeuawa.

WANAWAKE KATAVI WASHAURIWA KUUNDA VIKUNDI ILI KUPATIWA MISAADA

Na.Meshack Ngumba-Katavi Wanawake Mkoani Katavi wameshauriwa Kujiunga na Vikundi ili kupata fursa ya Kupewa   misaada itakayowasaidia Kujikwamua Kimaisha kwa kuanzisha Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

MBARONI KWA KUKAMATWA NA MENO YA TEMBO KATAVI

Image
Na.Issack Gerald-Mlele Jeshi la Polisi Wilayani Mlele Mkoani Katavi linamshikilia Bw. Robert Nyakie(40) mkazi wa kijiji na Kata ya kanoge barabara ya tatu kwa tuhuma ya kukutwa na meno ya tembo kinyume na sheria.                                         ACP Rashid Mohamed,Kamanda Msaidizi wa Polisi Mkoani Katavi (PICHA NA.Issack Gerald)                                               Vipande vya meno ya tembo vikiwa Mezani(PICHA NA.Issack Gerald) Mtuhumiwa Bw.Robert Nyakie akiwa chini ya ulinzi (PICHA NA.Issack Gerald Machi 04)

MKOA WA KATAVI WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI.

Na.Issack Gerald-Katavi MKOA wa Katavi umeshauriwa kumaliza migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji na katika maeneo ya makazi na hifadhi. Ushauri huo umetolewa jana na Waziri mkuu mstaafu Mh, Mizengo Pinda katika kikao cha Kamati ya ushauri ya mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa idara ya maji mjini Mpanda.

MKUU WA WILAYA YA MPANDA AINGILIA KATI MGOGORO WA TENDA YA WAJASILIAMALI KUHUSU UTENGENEZAJI WA MADAWATI.

Na.Issack Gerald-Katavi Umoja wa wajasiliamali Pasifiki waliopo mtaa wa majengo kata ya Kashaulili   umeilalamikia Manispaa ya Mpanda kwa kutoa tenda kwa mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Sailoni Mwagama ambaye ni mjasiliamali wa eneo hilo tofauti na ilivyokuwa awali kuwa wajasiliamali hao wangepata tenda hiyo kwa pamoja kama ilivyokuwa imetangazwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Bw.Pazza Mwamlima.

SERIKALI YA MKOA WA KATAVI YAKATAA WAKANDARASI WASIOFUATA MASHARTI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI.

Image
Na.Issack Gerald-Katavi SERIKALI Mkoni Katavi imesema haitakubali Kuingia Mikataba ya Ujenzi wa Miradi mbalimbali ikiwemo   barabara   na wakandarasi   wanaoshindwa Kufuata Masharti   ya Utekelezaji wa Miradi hiyo.                                                 

KUHUSU MADARASA YA WANAFUNZI WENYE WALEMAVU SHULE YA ,MSNGI AZIMIO,SASA SARAKASI TUPU KATI YA MANISPAA YA MPANDA NA MKANDARASI

Na.Issack Gerald-Mpanda Kamati ya shule ya msingi Azimio katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,imezuia malipo ya shilingi Milioni tano (5,000,000) kwa mkandarasi anayefahamika kwa jina la Paul Luguyashi ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mwandoya Investment aliyejenga madarasa mawili ya watoto wenye ulemavu katika shule hiyo kwa madai kuwa sehemu ya majengo hao aliyoambiwa kufanya marekebisho ya majengo hayo hakutekeleza.