Posts

Showing posts from September 22, 2017

TANROADs MKOANI KATAVI WATAJWA KUSABABISHA AJALI-Septemba 22,2017

Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi BAADHI ya wakazi wa wanispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameilalamikia Wakala wa barabara TANROADs Mkoani Katavi kwa kupuuzia uwekaji alama za usalama barabarani katika eneo la Super City mtaa wa Majengo eneo ambalo limekuwa likisababisha ajali mara kwa mara.

TLB KATAVI WASUBIRI MWONGOZO ILI KUSHIRIKI SIKU YA FIMBO NYEUPE DUNIANI-Septemba 22,2017

Na.Issack Gerald-Mpanda Katavi CHAMA cha watu wasioona Mkoani Katavi (TLB) kimesema kinasubiri mwongozo wa viongozi wa chama hicho ngazi ya Taifa ili wafahamu namna watakavyoshiriki maadhimisho ya siku ya watu wasioona duniani yanayotarajiwa kuadhimishwa mwezi ujao.