Posts

Showing posts from May 12, 2016

MKURUGENZI MANISPAA YA MPANDA APEWA SIKU 14 NA MKUU WA WILAYA YA MPANDA KUMALIZA MGOGORO WA ARDHI MISUNKUMILO

MKUU wa wilaya ya Mpanda Mh,Paza Mwamlima ametoa siku 14 Kwa Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Kutatua Mgogoro wa aridhi kwa wananchi wa kata ya Minsunkumilo.