Posts

Showing posts from August 23, 2016

ZIARA YA WAZIRI MKUU WILAYANI MLELE :FANYENI UKAGUZI KUBAINI WALIOKULA FEDHA ZA USHIRIKA NA KUWACHUKULIA HATUA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Inyonga Mlele WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtaka Mkuu wa Mkoa Katavi, Meja Jenerali (Mstaafu) Raphael Muhuga kupeleka wakaguzi wilayani Mlele na kubaini watu waliokula fedha za chama cha ushirika cha Ukonongo na kuwachukulia hatua. Waziri Mkuu akiwa ziarani Inyonga wilayani Mlele baada ya kutawazwa kuwa Chifu wa Wakonongo(PICHA NA.Issack Gerald)                                              

ZIARA YA WAZIRI MKUU WILAYANI TANGANYIKA : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AAGIZA KUONDOLEWA WATU WALIOVAMIA MAENEO YALIYOHIFADHIWA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo-Tanganyika WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi kuhakikisha unawaondoa watu wote wanaoishi katika maeneo ya hifadhi na ushoroba  wa wanyama  wa Lyamgoroka . WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa