Posts

Showing posts from November 16, 2015

WAKAZI KATAVI WAHIMIZWA USAFI

Na.Issack Gerald-MPANDA. Wananchi Mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia usafi wa Mwili Mazingira na Vyakula ili kujikinga na Maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu.

SPIKA BUNGE LA TANZANIA KUCHAGULIWA KESHO,SITTA NJE KINYANG'ANYIRO

Image
  Jengo la Bunge Mjini Dodoma Na.Mwandishi wetu-DODOMA Wabunge wateule wa bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanatarajia kumchagua Spika wa Bunge hilo kesho Mjini Dodoma.

KATA YA SITALIKE KUKUSANYA MAPATO KUTOKA MIGODINI NA HIFADHINI

Na.Issack Gerald-NSIMBO UONGOZI wa Kata ya Sitalike wilayani Nsimbo mkoani Katavi, unatarajia kukusanya mapato kutoka kwa wawekezaji wa migodi pamoja na hifadhi ya taifa ili kuchangia maendeleo ya kata hiyo.

HALMASSHAURI YA MJI NJOMBE YAWAONYA WALIMU WAKUU WATAKAOFELISHA WANAFUNZI

Na.Mwandishi wetu-NJOMBE Halmashauri ya mji wa njombe imesema itaendelea kutoa adhabu za kuwa vua vyeo walimu wakuu ambao shule zao zinafelisha wananfunzi kuufikia wastani waliojiwekea ili kukuhakikisha halmashauri hiyo inangara kielimu kwa kufikia ufaulu wa juu.