Posts

Showing posts from October, 2016

GEREZA LA KALILANKULUKULU NA TAASISI ZAKE AMBAZO NI SHULE NA ZAHANATI HATARINI,BAADHI YA WAFUNGWA HAWANA SARE,BAADHI YA ASKARI MAGEREZA NAO WALAZIMIKA KUTUMIA PESA ZAO KUSHONA SARE KWA MIAKA 8 SASA,KUTA ZA MAJENGO YA ZAHANATI NAYO KUANGUKA MUDA WOWOTE,VYOO VYA WANAFUNZI NAVYO VYAJAA VYAZIBA BILA HATUA KUCHUKULIWA KIPINDUPINDU KUBISHA HODI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika Katavi GEREZA la Kalilankulukulu lililopo Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi lililoanzishwa mwaka 1973 ,linakabiliwa na matatizo mbalimbali yakiwemo baadhi ya wafungwa wa gereza hilo kukosa sare huku pia baadhi ya asakari wa gereza hilo,wakilazimika kutumia pesa yao kushona sare zao kutokana na serikali kutowapa sare hizo tangu mwaka 2009 licha ya viongozi kadhaa wa wizara,Mkoa hadi Wilaya kuwa na taarifa ya matatizo hayo.   Mwigulu Nchemba waziri wa mambo ya ndani ya Nchi ambaye kwa kiasi kikubwa gereza zipo chini ya wizara yake kama waziri                                                                Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe Naibu waziri wa Nishati na madini(Mbunge wa Jimbo la Katavi)                       

JIMBO LA MPANDA MJINI LAPATA MGAO WA MADAWATI 537 KUTOKA MFUKO WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda JIMBO la Mpanda mjini Mkoani Katavi limepatiwa mgao wa madawati 537 kutoka mfuko wa ofisi ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2017 MWENGE KUWASHWA MKOANI KATAVI KUZIMIWA ZANZIBAR

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama UZINDUZI wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2017 unatarajia kufanyika Mkoani KATAVI na kilele cha mbio za mwenge huo kitafanyika Zanzibar.                                                  

TANZANIA NA UHORANZI ZASAINIANA MKATABA WA KUWEKA UMEME WA UHAKIKA MKOANI KATAVI,ZAIDI YA VIJIJI 15 KUNUFAIKA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi SERIKALI za Tanzania na Uhoranzi kwa pamoja zimesainiana Mkataba wa Shilingi Bilioni 44/= ili kufanikisha ukamilika kwa mradi wa umeme wa uhakika Mkoani Katavi ifikapo mwezi Juni mwaka 2017. Mashine zinazofua umeme                                  

MANISPAA YA MPANDA BADO IMESHINDWA KULIPA SHILINGI MILIONI 321 KWA WAZABUNI WALIOJENGA MAABARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA MANISPAA.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi imesema bado haina uwezo wa kulipa Shilingi Milioni 321 inayodaiwa za wazabuni waliojenga maabara katika Shule Mbalimbali za Manispaa ya Mpanda. Mkurugenzi Mtendaji Manispaa ya Mpanda Bw.Michael Francis Nzungu(PICHA NA.Issack Gerald)   Katika picha ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi,Ofisi Za Hamlshauri ya Manispaa ya Mpanda na pia ndipo ulipoUkumbi  wa Mikutano wa Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)                                    

MKUU WA WILAYA MPANDA AWAAGIZA WATUMISHI WENYE VYETI BANDIA KUJIONDOA WENYEWE KABLA YA KUKAMATWA,MANISPAA YA MPANDA NAYO YAAGIZWA KUWA NA NIDHAMU YA MATUMIZI YA BAJETI YA FEDHA ZA MAENDELEO.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi. Lilian Charles Matinga,amewaagiza watumishi wote wenye vyeti bandia Wilayani Mpanda kujiondoa wenyewe kwa hiari kabla ya kukamatwa na hatua kali kuchukuliwa dhidi yao. MKUU wa Wilaya ya Mpanda Bi.Lilian Charles Matinga(Asiyevaa wigi) Mh.Sebastian Mwakabafu Diwani wa kata ya uwanja wa ndege katika kikao akiuliza swali                                

MUWASA : WAKAZI MANISPAA YA MPANDA WANAKOSA MAJI KUTOKANA NA UPUNGUFU WA MAJI KUTOKA VYANZO VYA MAJI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi MAMLAKA ya maji safi na salama Manispaa ya Mpanda MUWASA Mkoani Katavi imesema kuwa,tatizo la upatikanaji wa maji lililopo kwa sasa kwa wakazi wa Manispaa ya Mpanda,linatokana na upungufu wa kina cha maji katika vyanzo vinavyotoa maji. Ikorongo Namba 2 chanzo cha Maji Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald)                                 

VIJANA UVCCM MKOANI KATAVI WAJITOKEZA KUCHANGIA DAMU SALAMA HOSIPTALI YA WILAYA YA MPANDA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama –Mpanda Katavi VIJANA WA UMOJA wa chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoani Katavi,leo wamejitokeza kuchangia damu salama katika Hospitali ya Wilaya ya Mpanda.

KUHUSU KATAVI NA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI LEO OKTOBA 11,2016-P5 TANZANIA INAKUSOGEZEA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Katavi ZAIDI ya makosa 100 ya unyanyasaji kwa mtoto wa kike yameripotiwa katika kipindi cha miezi 9 iliyopita ikiwa ni pamoja na makosa ya ubakaji,kutupa watoto,kuwapa mimba wanafunzi na kuwaachisha masomo.

BARAZA LA MADIWANI WILAYANI TANGANYIKA LAIOMBA SERIKALI KUKAMILISHA MIRADI VIPORO YA MAENDELEO ILI WANANCHI KUENDELEA KUWA NA IMANI NA SERIKALI.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama –Tanganyika Katavi BARAZA la madiwani Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,limeiomba serikali kuhakikisha inakamilisha miradi ya maendeleo katika kata mbalimbali ili kuwanufaisha wananchi kiuchumi na kimaendeleo. Madiwani wa Baraza la madiwani wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda wakiwa katika kikao(PICHA NA.Issack Gerald) Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Bw.Hamad Hassan Mapengo(PICHA NA.Issack Gerald)                                                           

SHIRIKA LA UNHCR LAKABIDHI GARI LA SHILINGI MILIONI 150 KWA JESHI LA POLISI WILAYANI TANGANYIKA,WAAHIDI KUTOA MAFUTA NA KULIKARABATI LINAPOHARIBIKA,JESHI LA POLISI KATAVI LAAGIZWA KUIMARISHA USALAMA.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Katavi SHIRIKA la Wakimbizi duniani UNHCR limekabidhi gari mpya kwa jeshi la Polisi Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,ili kurahisisha na kuongeza utendaji kazi wa jeshi hilo katika kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Picha ya Pamoja ya Jeshi la Polisi Baada ya UNHCR kukabidhi gari kwa Jeshi La Polisi Wilayani Tanganyika(PICHNA NA.Issack Gerald),wa Kwanza kutoka kulia ni kamanda wa Jeshi Polisi Mkoani Katavi ACP Damasi Nyanda                                

LEO NI SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI MAADHIMISHO KITAIF AKUFANYIKA SHINYANGA,MIKOA 21 INAONGOZA KWA MIMBA ZA UTOTONI KINARA NI SHINYANGA KWA ASILIMIA 59.

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama LEO ni siku ya mtoto wa kike duniani ambapo siku hiyo kitaifa inaadhimishwa Mkoani Shinyanga.

WASAFIRI KUTOKA KATAVI,TABORA NA KIGOMA WANAOTUMIA TRENI YA RELI YA KATI KUONGEZEWA BEHEWA KURAHISISHA USAFIRI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama- Katavi SERIKALI imewahakikishia wakazi wa mikoa ya Katavi,Tabora na Kigoma kuwa itaongeza mabehewa ya abiria na mizingo katika treni ya reli ya kati ili kuruhusu abiria wengi kusafiri na kusafirisha   mizigo yao kuwa wasafiri wengi wanatumia usafiri wa treni.                                               

BARAZA LA MADIWANI HALMSHAURI YA WILAYA YA MPANDA KUFANYA KIKAO CHAKE KESHO,SHILINGI MIL.120 ZILIZOTUMIKA KINYUME NA MALENGO,BARAZA LA MADIWANI KUTOA TAMKO

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi BARAZA la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi,kesho linatarajia kufanya kikao chake cha robo ya mwaka kwa mwaka 2016 ambapo masuala mbalimbali yatajadiliwa ikiwemo kutoa   tamko la kubadilishwa matumizi ya Shilingi milioni 120 zilizokuwa zitumike kununulia gari la Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri hiyo ambapo zilitumika kwa ajili ya Masuala ya mitihani. Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Mpanda Mh.Hamad Hassan Mapengo(PICHA NA.Issack Gerald)                                                 

SHIRIKA LA UNHCR KESHO KUKABIDHI GARI KWA JESHI LA POLISI MKOANI KATAVI KUSAIDIA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi SHIRIKA la wakimbizi duniani UHNCR Mkoani Katavi,kesho linatarajia kukabidhi gari kwa jeshi la Polisi Mkoani Katavi ili kurahisisha shughuli za ulinzi na usalama za jeshi hilo.                                           

WALEMAVU WASIOONA 127 WAKIWEMO WANAFUNZI 58 MKOANI KATAVI BADO WANA MATATIZO MAKUBWA YA KUKOSA HUDUMA STAHIKI KATIKA ELIMU NA AFYA

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Katavi CHAMA cha Wasioona Tanzania TLB Mkoani Katavi,kimesema Walemavu zaidi ya 127 wasioona waliopo Mkoani Katavi,bado wanakabiliwa na hatari ya kukosa huduma muhimu mbalimbali kama elimu,afya na mengineyo muhimu kutokana na jamii kuendelea kuwa na mtazamo kuwa,walemavu hawana mchango wa kuleta maendeleo. Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Tulia Akson akihutubia siku ya fimbo nyeupe Mkoani Mbeya akiwa ndiye Mgeni rasmi(PICHA NA.Issack Gerald) Bw.Emmanuel Simon katibu wa TLB taifa akiwasilisha taarifa wakati wa maadhimisho ya siku ya wasioona maarufu siku ya fimbo nyeupe Mkoani Mbeya(PICHA NA.Issack Gerald)                              

MKUU WA WILAYA YA TANGANYIKA AVUNJA BODI YA CHAMA WAKULIMA WA TUMBAKU MISHAMO TAMCOS

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Tanganyika MKUU wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Saleh Mbwana Mhando,ameivunja bodi ya chama cha wakulima cha tumbaku MISHAMO TAMCOS na kuamru viongozi wote wa bodi hiyo wakamatwe haraka.                                              Wakulima wa Chama cha Ushirika Mishamo Tamcos katika picha wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika pichani hayupo Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Saleh Mbwana Mhando akizungumza na wakulima wa chama cha Ushirika MISHAMO TAMCOS(Picha na Issack Gerald) Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha MISHAMO TAMCOS Bw. Bw.Pridas Amakredo(picha na Issack Gerald)

MKUU WA MKOA WA KATAVI APOKEA SHILINGI 500,000/= KUTOKA MUKABUBINGA KWA AJILI WAATHIRIKA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA,FEDHA ILIYOCHANGWA YAFIKIA MIL. 13,344,600 KUWASILISHWA KAGERA JUMATATU.

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo - Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral mstaafu Raphael Muhuga amepokea Shilingi laki tano kutoka kwa MUKABUBINGA ambao ni Umoja wa wanakagera waishio Wilayani Mpanda ambapo fedha hiyo ni kwa ajili ya kuwachangia waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Mkoani Kagera. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi na Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda(PICHA NA.Issack Gerald) Mkuu wa Mkoa wa Katavi Meja Jeneral Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga(PICHA NA.Issack Gerald)                    

TCCIA KATAVI : SERIKALI ITAFUTE MFUMO WA KUDUMU KUSIMAMIA SEKTA YA KILIMO,MENEJA MPANDA KATI NAYE ASEMA UZALISHAJI WA TUMBAKU UMEPUNGUA KUTOKA KILO 3.5 - 1.4 MILIONI

Image
Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama-Mpanda Katavi CHAMA cha watu wenye kilimo,viwanda na Biashara TCCIA Mkoani Katavi,kimeishauri serikali kutafuta mfumo wa kudumu utakaosimamia sekta ya kilimo ikiwemo kusimamia mfumo wa usambazaji wa pembejeo za kilimo hapa nchini ili wakulima walime kilimo chenye tija kwao kutokana na matumizi sahihi ya pembejeo hizo ikiwa zitaletwa kwa wakati.                                             

ASILIMIA 45 YA WATOTO CHINI YA MIAKA 18 TANZANIA HUPATA UJAUZITO NA KUPOTEZA MAISHA WAKATI WA KUJIFUNGUA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama -Nkasi Rukwa Asilimia 45 ya watoto wa kike waliochini ya  umri wa miaka 18 hupata ujauzito na kupoteza maisha kila mwaka  wakati wa kujifungua kwa mjibu wa  utafiti uliofanywa  na Shirika lisilokuwa la kiseriklai la Plan International Tanzania.

MFAHAMU PROFESA LIPUMBA WA CHAMA CHA CUF

Image
IBRAHIM HARUNA LIPUMBA (amezaliwa tar. 6 Juni 1952 , Ilolangulu , Tabora , Tanzania ) ni mwanasiasa nchini Tanzania na pia mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Civic United Front (CUF - Chama Cha Wananchi) ambaye kawa sasa chama cha CUF kimetangaza kumfuta katika chama hicho. Prof Ibrahim Haruna  Lipumba                                               

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE DUNIANI KUFANYIKA LEO 1/10/2016

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, imesema   leo inaadhimisha kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani.