Posts

Showing posts from May 28, 2016

WALIMU MANISPAA YA MPANDA MKOANI KATAVIWAMEIOMBA SERIKALI KUWAPANDISHA VYEO WANAPOKUWA WAMEKIDHI VIGEZO.

WALIMU wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwapandisha cheo wanapokuwa wamekidhi vigezo pamoja na kutengenezewa vitambulisho vipya   vya kazi.

WATU 5 WAKIWEMO WATATU WENYE KADI 19 ZA ATM ZA BENKI WANASWA NA JESHI LA POLISI KATAVI

WATU watatu wakazi wa tarafa ya kashaulili wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kukutwa na kadi za ATM 19 za watu tofauti.