Posts

Showing posts from June 13, 2016

WATANZANIA WAPYA KATUMBA WATAKIWA KUTOKARIBISHA WAGENI KINYUME CHA SHERIA

WATANZANIA waliopewa Uraia katika Makazi ya Katumba Halmashauri ya Nsimbo wilayani Mlele, Mkoani Katavi, wametakiwa kuacha kuwakaribisha watu wanaoingia nchini kinyume cha sheria.

4 HAMAHAKAMANI KWA KUINGIA MGODINI BILA IDHINI YA MMILIKI

WATU wanne wamefkishwa katika mahakama ya mwanzo mjini mpanda kwa kosa la kuingia mgodini bila idhini ya mmiliki wa mgodi huo.

YALIYOMKUTA ALIYEKAMATWA NA JINO MOJA LA TEMBO MKOANI KATAVI LENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.1 HAYA HAPA

MTU mmoja mkazi wa Mgorokani Matandarani wilaya ya   Mlele mkoni Katavi amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Mpanda   kwa makosa mawili tofauti likiwemo la kukutwa na jino 1 la tembo lenye thamani ya shilingi milioni thelasini.