Posts

Showing posts from May 6, 2016

SHILINGI MIL.1 YA MKOPO YATOLEWA NA MBUNGE JIMBO LA MPANDA MJINI KWA VIKUNDI 4 VYA WAJASILIAMALI KATA YA NSEMULWA MANISPAA YA MPANDA

Vikundi 4 kati ya 28 vya wajasiliamali vilivyopo kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi,leo vimekabidhiwa mkopo kwa Shilingi milioni Moja kwa ajili kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi.

WALIMU WAGOMA KUFUNDISHA WAKIPINGA MWALIMU MWENZAO KUPIGWA NA AFISA ELIMU,CWT KUTOA TAMKO LEO

WALIMU wa shule ya msingi Kianda wameanza mgomo wa siku mbili wa kutofundisha shuleni hapo huku wakilaani kitendo cha Ofisa Elimu (Shule za Msingi) wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Peter Fusi kumshambulia na kumpiga makofi mwalimu mwenzao akiwa darasani mbele ya wanafunzi wake.

WANAKIJIJI KASOKOLA MKOANI KATAVI WAKATAA TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI,KUSOMWA UPYA MEI 12 MWAKA HUU.

Wananchi wa kijiji cha kasokola kata ya kasokola manispaa ya mpanda wameikataa taarifa ya mapato na matumizi iliyosomwa   katika mkutano wa hadhara ambapo haijasomwa takribani mwaka mmoja na miezi mine.