Posts

Showing posts from August 12, 2017

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA NHIF-Agosti 12,2017

Image
Katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi(by P5 TANZANIA) Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania John Magufuli amemteua Bw.Benard Hezron Konga kuwa mkurugenzi mkuu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya NHIF.

SERIKALI YA MTAA MKOANI KATAVI YAHOFIA MAFURIKO YA WANAFUNZI-Agosti 12,2017

SERIKALI ya mtaa wa Kampuni kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda,Imeiomba Manispaa ya Mpanda kuandaa miundombinu ya madarasa ya kutosha katika shule ya msingi Nsambwe,ili kukidhi idadi ya wanafunzi itakayoongezeka katika shule hiyo baada ya wakazi wa mtaa wa msasani na tambukareli kuhamia eneo hilo wakiwa na wanafunzi.

RAIS UHURU KENYATTA ATANGAZWA MSHINDI WA URAIS KENYA-Agosti 12,2017

Image
Uhuru Kenyatta, baada ya kutangazwa mshindi, ametoa wito kwa wananchi kudumisha umoja Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.