RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA NHIF-Agosti 12,2017

Katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi(by P5 TANZANIA)
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania John Magufuli amemteua Bw.Benard Hezron Konga kuwa mkurugenzi mkuu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya NHIF.
Kwa mjibu wa katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi amesema uteuzi wa Bw. Benard Hezron Konga umeanza Agosti 9 mwaka huu.
Kabla ya uteuzi huo Bw.Konga alikuwa akikaimu nafasi hiyo
Habarika zaidi kupitia www.p5tanzania.blogspot.com 

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA