Posts

Showing posts from July 17, 2015

YATIMA MPANDA WAPATA MSAADA,CHANGAMOTO YA FEDHA HALMSHAURI YA WILAYA YASEMA BADO KIKWAZO KUWASAIDIA YATIMA WENGI

Image
Baadhi ya watoto katika picha ambao wamepatiwa msaada Yatima wakisalimiwa na kupew zawadi ndogondogo NA.Theressia Lwaji-MPANDA KATAVI WATOTO yatima 12 kati 32  katika kijiji cha ifukutwa kata ya mpanda ndogo wa halmashauri ya wilaya ya mpanda mkoani katavi  wamepatiwa misaada ya magodoro,vyandarua na blanket.

JAMII HALMSHAURI YA WILAYA NSIMBO YATAKIWA KUWA KARIBU NA WATOTO KATIKA MALEZI

Image
Baadhi ya viongozi katika Msafara wa mwenge wa Uhuru  wakizuru mandari ya Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo wakati mwenge wa uhuru ulipofika katika halmshauri hiyo NA.Issack Gerald-Nsimbo Katavi Jamii katika Halmashauri ya Wilaya  ya  Nsimbo Mkoani Katavi imetakiwa kuwa na ukaribu kimalezi kwa  watoto wao ili kubaini kwa haraka vitendo vya ukatili wakati vinapotokea kwa watoto.