Posts

Showing posts from December 16, 2015

WANAWAKE MPANDA WATAKIWA KUJIFUNGULIA HOSPITALINI KUPAMBANA NA VIFO

Na.Vumilia Abel-MPANDA Wanawake Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuona umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya na kuachana   mila potofu za kujifungulia nyumbani ili kuzuia voifo visivyo vya lazima.

DAMU SALAMA YAKUSANYWA MPANDA

Image
Na.Lutakilwa Lutobeka-MPANDA Wizara ya afya kupitia kitengo cha damu salama Wilayani Mpanda Mkoani Katavi kimewapongeza wananchi walojitokeza katika zoezi la uchangiaji wa damu huku kikiwaomba ambao hawajachangia wafanye hivyo ili kuokoa uhai wa wagonjwa.                                                            Damu salama iliyokusanywa

KESI YA KUBENEA DHIDI YA MAKONDA YAAHIRISHWA KUSIKILIZWA DESEMBA 29

Image
Na.Yusuph Katimba - Dar es Salaam KESI iliyofunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda dhidi ya Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, imeahirishwa.                                                   Said Kubenea Mbunge jimbo la Ubungo

UONGOZI CHADEMA KATAVI,JIMBO NA WILAYA WASIMAMISHWA UONGOZI.

Image
Na.Issack Gerald-MPANDA Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA,kanda ya kusini Magharibi,umewasimamisha viongozi wa chama hicho kwa Mkoa wa Katavi,kwa jimbo la Mpanda na wilayani Mpanda,kwa tuhuma kukihujumu chama.                                                          Bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema