Posts

Showing posts from March 11, 2016

JESHI LA ZIMAMOTO WALALAMIKIWA NA WAKAZI KATAVI KWA KUWAPA VITISHO WENYE MFUMO WA UTAPELI

Image
NA.Issack Gerald-Katavi Wafanyabiasha wa soko la Buzogwe wamelalamikia hatua ya kikosi cha zima moto Manispaa ya Mpanda mkoani wa Katavi   kwa kuwatoza kodi ambayo haijulikani inakopelekwa pamoja na kutoelimishwa juu ya michango hiyo. Mwonekano wa gari la zimamoto (PICHA NA Issack Gerald)                               

KUKMBUKUMBU YA MIAKA 32 YA KIFO CHA WAZIRI MKUU MZALENDO HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE

Image
(Na.Issack Gerald-P5 TANZANIA MEDIA) Hayati Sokoine alizaliwa mnamo mwaka 1/8/1938 katika wilaya ya MAASAI LAND ambayo kwa sasa inafahamika kama wilaya ya Monduli iliyopo mkoani Arusha. Waziri Mkuu wa awamu ya 3 na 5 wa Tanzania                  

MGONJWA ALIYEMNASA KIBAO HOSPITALI YA WILAYA YA MPANDA MKOANI KATAVI MUUGUZI ATOROKA HOSPITALINI.

Na.Issack Gerald-Katavi Mgonjwa aliyempiga Bi.Recho Matinya ambaye ni muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wakati mgonjwa huyo akiwa amelazwa katika Hospitali hiyo,ametoroka kutoka hospitalini hapo.