Posts

Showing posts from May 14, 2016

BREAKING NEWS :WANNE MBARON MPANDA KWA UKIUKWAJI BEI ELEKEZI YA SUKARI

WAKATI Serikali ikiendelea kupambana na watu wanaoficha sukari manispaa ya Mpanda mkoani katavi   imewakamata wafanyabiashara 4   ambao wanakiuka bei elekezi ya serikali ya kuuza sukari.