Posts

Showing posts from September 11, 2017

KATIBU MKUU CHADEMA AGOMA KUJISALIMISHA POLISI ILI AOHJIWE SAKATA LA TUNDU LISSU-Septemba 11,2017

Image
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji amesema hawezi kwenda kuripoti Polisi kama alivyotakiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto kwa kuwa hakuambiwa siku maalumu ya kwenda.

RAIS MAGUFULI AOGOPA KUPOKEA MAJINA YA WAFUNGWA WANAOTAKIWA KUNYONGWA-Septemba 11,2017

Image
Rais John Pombe Magufuli amesema kama rais anaogopa kusaini ili wanyongwe baadhi ya wafungwa ambao wamehukumiwa kunyongwa kutokana na makosa mbalimbali.

JAJI MKUU MPYA TANZANIA AAPISHWA RASMI-Septemba 11,2017

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemuapisha Prof. Ibrahim Hamis Juma kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye amemteua kushika wadhifa huo Septemba 10, mwaka huu .

MJI WA NAMANYERE NKASI KUJENGEWA LAMI KABLA YA 2020-Septemba 11,2017

Image
SERIKALI imesema inatarajia kukamilisha ujezi wa barabara yenye urefu wa kilomita tano kwa kiwango cha lami Mjini Namanyere Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa kama iliyoaihidiwa na serikali wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015.

JUMUIYA YA KUHIFADHI TAMADUNI,MILA NA DESTURI ZA KITANZANIA KANDA YA ZIWA TANGANYIKA YAOMBA KUJENGEWA MAKUMBUSHO-Septemba 11,2017

Image
JUMUIYA ya kuhifadhi,kudumisha na kuendeleza mila na desturi za Tanzania katika ukanda wa ziwa Tanganyika, wameiomba serikali ya awamu ya Tano kusaidia ujenzi wa makumbusho yaliyopangwa kujengwa mkoani Katavi kama walivyoahidiwa na serikali ya awamu ya nne.