Posts

Showing posts from February 11, 2016

RIPOTI YA PILI AJALI MTO KOGA : MIILI YA WATU WALIOKUFA MAJI MTO KOGA HADI SASA HAWAJAPATIKANA NA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA.

Image
Na.Issack Gerald-Katavi Miili 5 ya watu waliozama katika mto Koga uliopo mpakani mwa Mkoa wa Tabora na Katavi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji tarehe Januari 26 ,2016 hawajapatikana pamoja na gari walilokuwa wakisafiria.                                             Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dk.Ibrahim Hamis Msengi(PICHA NA Issack Gerald)

BWENI SHULE YA SEKONDARI YA KANISA KKKT MPANDA LATEKETEA KWA MOTO,WANAFUNZI 31 WANUSURIKA

Na.Issack Gerald-Mpanda Bweni la wavulana la Shule ya Sekondari ya Sanny inayomilikiwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limeteketekea kwa moto na kuteketeza mali zote za wanafunzi.