Posts

Showing posts from October 1, 2016

ASILIMIA 45 YA WATOTO CHINI YA MIAKA 18 TANZANIA HUPATA UJAUZITO NA KUPOTEZA MAISHA WAKATI WA KUJIFUNGUA

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama -Nkasi Rukwa Asilimia 45 ya watoto wa kike waliochini ya  umri wa miaka 18 hupata ujauzito na kupoteza maisha kila mwaka  wakati wa kujifungua kwa mjibu wa  utafiti uliofanywa  na Shirika lisilokuwa la kiseriklai la Plan International Tanzania.

MFAHAMU PROFESA LIPUMBA WA CHAMA CHA CUF

Image
IBRAHIM HARUNA LIPUMBA (amezaliwa tar. 6 Juni 1952 , Ilolangulu , Tabora , Tanzania ) ni mwanasiasa nchini Tanzania na pia mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Civic United Front (CUF - Chama Cha Wananchi) ambaye kawa sasa chama cha CUF kimetangaza kumfuta katika chama hicho. Prof Ibrahim Haruna  Lipumba                                               

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE DUNIANI KUFANYIKA LEO 1/10/2016

Na.Issack Gerald Bathromeo Mashama Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto, imesema   leo inaadhimisha kilele cha  Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani.