4 HAMAHAKAMANI KWA KUINGIA MGODINI BILA IDHINI YA MMILIKI



WATU wanne wamefkishwa katika mahakama ya mwanzo mjini mpanda kwa kosa la kuingia mgodini bila idhini ya mmiliki wa mgodi huo.

Akisoma shitaka hilo  hakimu mwandamizi  wa mahakama hiyo Mh, David Mbembela amewataja washitakiwa kuwa ni Japhary Mwina [22] Elnest Vitaris[24], Issa Rashidi[ 25] na  Ramadhani Musa[21],wote wakazi wa Kapanda.
Ameongeza kusema kuwa washitakiwa hao walitenda kosa hilo February 23 mwaka huu ambapo waliingia katika machimbo ya mgodi wa dhahabu  yaliyopo kapanda wilayani mlele  na kufanya shughuli zao bila kibali cha mmliki ambaye ni Shija Sombi .
Kwa upande wao  washitakiwa wamekana kutenda kosa hilo na watuhumiwa wameachiwa kwa dhamana na kesi hiyo imehairishwa hadi hapo itakapo tajwa tena juni 20 mwaka huu
Mwandishi :Issack Gerald Bathromeo
Mhariri : Issack Gerald Bathromeo 
Endelea kuhabarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA