WAKAZI KATAVI WATAKIWA KUWA TAYARI KWA USAFI DESEMBA 9


Na.Issack Gerald-MPANDA.
WAKAZI Katika Mkoa wa Katavi wametakiwa Kuwatayari Kushiriki Katika zoezi la Kufanya usafi wa Mazingira litakalofanyika Nchi nzima December 9 Mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dr Ibrahingu Msengi wakati akizungumza na P5 TANZANIA MEDIA Kuhusu Maandalizi ya Utekelezaji wa Zoezi hilo kama ilivyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli.
Katika Maagizo yake Rais Magufuli amewaagiza wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Hamashauri zote nchini Kufanya Maandalizi ya upatikanaji wa Vifaa vya utekelezaji wa kazi hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA