UHAKIKI DAFTARI LA MPIGA KURA NSIMBO WAFANYIKA


NA.Agness Mnub-KATAVI
ZOEZI la Kuhakiki taarifa katika daftari la Kudumu la Mpiga Kura limeanza Katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi Kufuatia Tangazo lililotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya Zoezi hilo.

Akizungumza na P5 TANZANIA Uchaguzi Katika halmashauri hiyo Bwana Hamis Mnubi amesema Zoezi hilo litawahusu waliokwisha Jiandikisha Kwenye Daftari la Mpiga Kura Kwa Kutumia Mfumo mpya  wa BVR.
Zoezi la Uhakiki wa Taarifa  litawahusu wapiga kura waliojiandikisha Katika daftari la Mpiga Kura lililioanza Mei 18 na Kukamilika June 17 Mkoani Katavi,ambapo Zoezi la Uhakiki wa Taarifa lililoanza Augost 7 linatarajiwa kukamilika Augost 11 mwaka huu.


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA