TRL KATAVI KUBORESHA MIUNDOMBINU USAFIRI WA TRENI



SHIRIKA la reli mkoni katavi limeanza kuboresha miundombinu ya  Reli pamoja na mabehewa ili kutoa huduma bora ya Usafiri kwa watumiaji. 

Mkuu wa shirika hilo kituo cha Mpanda Bw.Vivin Venas amesema tayari umeanza ukarabati wa reli kuanzia Katumba na Ugala.
Hata hivyo Bw. Venas amebainisha kuwepo kwa ufinyu wa bajeti ya ukarabati wa miundombinu hiyo ikilingalishwa na mahitaji yaliyopo.
Hata hivyo abiria wa wanaotumia usafiri huo wa garimoshi wameitaka serikali kujenga banda la kupumzikia
Kituo cha Gari moshi Mpanda hakina jendo la mapumziko ya abiria hali inayosababisha adha hususani kwa wanawake na watoto.
Mwandishi : Ester Lameck
Mhariri :Issack Gerald Bathromeo
Endelea kuhabarika na P5TANZANIA.BLOGSPOT.COM

Comments

asanteni kwa kutuhabarisha. but you've to improve i.e by giving us the news at a time.

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA