AKAMATWA KITUO CHA POLISI AKISHUKIWA KUWA NA VIUNGO VYA BINADAMU


Na.Mwandishi -SINGIDA
Jeshi lapolisi Mkoani Singida linamshikilia mtu mmoja anayefahamika wa jian la Magida Bundala  (30) Mkazi wa Mkoani humo wa kwa tuhuma za kukutwa  na mafuvu na viungo vinavyosadikiwa kuwa vya binadamu pamoja na nyara za serikali kinyume na sheria.

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani Singida  Thobiasi Sideweka amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa juzi majira ya saa mbili za Asubuhi katika kituo cha polisi Wilaya ya Ikungi alipokuwa amekwenda kuwajulia hali marafiki zake waliokuwa gerezani ambapo amekamatwa baada ya kupekuliwa
Mtuhumiwa anatajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili mara baada ya upelelezi kukamilika.


Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA