TAARIFA MPYA KUHUSU UCHAGUZI WA KENYA-Septemba 6,2017

Walioteuliwa ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo Ezra Chiloba, Naibu wake Betty Nyabuto, Mkurugenzi wa Usajili wa wapiga kura pamoja na Mkuu wa Operesheni za Uchaguzi Immaculate Kasait, Naibu wake Mwaura Kamwati, Mkuu wa Operesheni za Tume na Mkuu wa Teknolojia James Muhati.
Uchaguzi wa marudio Kenya
umepangwa kufanyika October 17, 2017 kutokana na ruhusa ya Mahakama ya Juu
nchini humo kufuatia kesi ya kupinga matokeo iliyofunguliwa na Odinga.
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Comments