WAFANYABIASHARA WAIOMBA SERIKALI KUPANGA KODI NA FAINI INAYOENDANA NA BIASHARA ZAO



Wafanyabiasha wa mazao ya chakula  Mkoani Katavi wameiomba serikali kupanga kodi na faini kulingana na biashara  zao.
 
Wakizungumza na mpanda radio wamesema  wamekuwa wakilipa fedha nyingi  mamlaka ya mapato Tanzania TRA na kupelekea kukosa faida .
Wameongeza kuwa kufuatia ukusanyaji  huo imewaasili hasa kwa kulipa  kodi hiyo na hatimae kucheleweshwa kufunguliwa  biashara  zao  kwa wakati  husika.
Kwa upande wake meneja wa mamlaka ya mapato Tanzania  mkoa wa TRA Bw.Maiko Temu amesema mwisho wa kulipa kodi ilikuwa ni mwezi February 30 mwaka huu lakini baadhi ya wafanyabiasha  hawakuweza  kulipa.
Ametoa wito kwa wafanyabiasha wote wa mkoa wa Katavi kulipa kodi hiyo kwa wakati.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA