WAJUMBE KAMATI YA MAADILI KUTOKA NCHINI MALAWI WAITEMBELEA TANZANIA-Julai 28,2017

Wajumbe wa Kamati ya Maadili kutoka Malawi walifanya mkutano
na Kamati ya uadilifu ya Wizara ya Ardhi.
Mratibu wa Kituo cha huduma kwa
Mteja,Johnson Sanga aliwatembeza ili kukaguza electronic queing machine ya
kuhudumia wateja ambayo hutumika katika Kituo cha Huduma kwa Mteja.
Comments