WAJUMBE KAMATI YA MAADILI KUTOKA NCHINI MALAWI WAITEMBELEA TANZANIA-Julai 28,2017



Wajumbe wa Kamati ya Maadili kutoka Malawi wameitembelea Tanzania kwa lengo la kujifunza utendaji kazi wa maeneo tofauti ikiwemo utendaji katika Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,hususan katika eneo  la utoaji huduma kwa Umma katika kupambana na Rushwa na uadilifu wa Utumishi.

Wajumbe wa Kamati ya Maadili kutoka Malawi walifanya mkutano na Kamati ya uadilifu ya  Wizara ya Ardhi.
Mratibu wa Kituo cha huduma kwa Mteja,Johnson Sanga aliwatembeza ili kukaguza electronic queing machine ya kuhudumia wateja ambayo hutumika katika Kituo cha Huduma kwa Mteja.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA