VIONGOZI NGAZI YA CHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA MASLAHI YA UMMA

Na.Issack Gerald-NSIMBO
VIONGOZI wa ngazi ya chini wametakiwa kufanya kazi kwa maslahi ya umma ili kuendana na Kasi ya Rais Dr Jonh Pombe Magufuli.

Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kata ya Kapalala iliyoko Katika halmashauri ya Nsimbo Mkoani hapa  wakati wakitoa maoni yao juu ya hotuba iliyotolewa na Rais Magufuli bungeni.
Katika hotuba yake Kupitia Kikao cha bunge la 11 Rais Dr John Pombe Magufuli amewataka watendaji wote wa umma kuacha kufanya kazi kwa Mazoea ili Kutatua matatizo na Kero zinazowakabili wananchi.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA