SERIKALI YATOA TAHADHARI KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA CHIKUNGUNYA



Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa homa ya Chikugunya ambao umeripotiwa na vyombo vya habari kutokea jijini Mombasa nchini Kenya.
Mh.Dk.Ummy Mwalimu-Waziri wa Afya
Kwa mujibu wa Wizara ya Afya ugonjwa wa Chikunganya unasababishwa na kirusi ambacho kinaenezwa na mbu wa aina ya Aedes.
Taarifa ya wizara hiyo inaeleza kuwa ugonjwa huu si mgeni nchini Tanzania kwani ulishawahi kutokea.
Dalili za ugonjwa wa Chikungunya ni homa kali,kuumwa kichwa,maumivu ya viungo,uchovu,kichefuchefu,kizunguzungu na wakati mwingine tumbo kuuma
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA