CHADEMA WATEUA WAGOMBEA MAJIMBO YA SIHA NA KINONDONI

Kamati Kuu ya Chama imemaliza Vikao vyake Leo Januari 19 imefanya uamuzi wa kushiriki kwenye uchaguzi mdogo kwenye majimbo ya Kinondoni na Siha unaotarajiwa kufanyika  Februari 19 mwaka huu.
Baada ya uamuzi huu kufanyika,Kamati Kuu imewateua wagombea wa Majimbo hayo ambapo Mhe.Salum Mwalim Juma ameteuliwa kugombea jimbo la Kinondoni huku Bw. Elvis Christopher Mosi akiteuliwa kugombe jimbo la Siha.
Kwa mjibu wa John Mrema ambaye ni Mkurugenzi wa Itikadi,Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, Wagombea wote wameshachukua fomu za uteuzi kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo husika.
Wagombea hao wanatajia kurejesha fomu hizo kesho jumamosi kwa ajili ya uteuzi.
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

 



Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA