WANANCHI MKOANI KATAVI WAZUNGUMZIA MIAKA 56 YA UHURU WA TANGANYIKA

Baadhi ya wananchi mkoani katavi wameeleza mafanikio katika miaka 56 ya uhuru wa Tanzania ambapo wamemeelezea kupiga hatua kimaendeleo katika sekta mbalimbali.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema maendeleo yaliyopo tangu uhuru ni pamoja na kimarika kwa miundo mbinu kama vile barabara na uimarishaji wa huduma za kijamii.
Aidha wameongeza kuwa kuna maendeleo makubwa katika Nyanja za mawasiliano hali inayopelekea kukua kiuchumi tofauti na miaka ya nyuma ambapo mawasiliano ilikuwa kwa njia ya barua pekee.
Maadhimisho ya Miaka 56 ya uhuru wa Tanzania bara yatafanyika disemba 9 mwaka huu uwanja wa jamuhuri mjini Dodoma kauli mbiu ni uhuru wetu ni tunu,tuudumishe, tuulinde,tukemee rushwa na uzembe.

Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA