KUIPATA PASIPOTI ILIYOZINDULIWA NA RAIS NI SH.150,000


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Dkt. Mwigulu Nchemba amesema gharama mpya ya hati ya kusafiria (Pasipoti) ya kielektroniki  iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli ni Shilingi 150,000.
Dk Nchemba amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa Pasipoti hiyo jijini Dar es Salaam.
Amesema Pasipoti hizo zitakuwa na ukurasa zaidi ya mmoja  na mwonekano mpya.
Hata hivyo Rais Magufuli amesema gharama ya Shilingi 150,000 ni ya juu kidogo kuliko bei ya sasa huku kieleza kuwa bei hiyo imezingatia ubora wa utengenezaji wa Pasipoti hiyo.
Habari zaidi niP5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA