KWA MARA YA KWANZA HAPA NCHINI SIMBA ATIBIWA KWA KUFANYIWA UPASUAJI


 Na Geofrey Stephen Ngoro Ngoro

Taasisi ya wanyama pori TAWRI kupitia mtaalam wake wa wanyama pori Dkt.Ernest Mjingo amefanikiwa kuokoa maisha ya simba wenye matatizo ya ugonjwa ngiri kwa simba huyo mtoto.
Simba
Dkt.Ernest Mjingo amesema kwa mara ya kwanza wamefanya upasuaji na kufanikiwa kwa asilimia mia moja na kwamba simba huyo ataishi bila maradhi mara baada ya kupona na kurudi katika hali yake ya mwanzo.
Hii ni mara ya kwanza kwa simba hapa nchini kufanyiwa upasuaji na kuimarika tofauti na wanyama wengine kupata maradhi na kufa kwa kukosa matibabu ya kitaaluma
Msemaji wa wa ifadhi ya mamlaka ya ngoro ngoro worlter mairo amesema wanashukuru kuona simba huyo kupata matibabu na badae kuendelea kutangaza utalii wa ndani kwa kuongeza pato la taifa kupitia secta ya utalii

Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA