RAIS MAGUFULI ATENGUA KIGOGO SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA(NHC)




Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Blandina Nyoni na kuivunja bodi hiyo.

Blandina Nyoni

Kwa mjibu wa mkurugenzi wa mawasiliano ya rais ikulu Bw.Gerson Msigwa utenguzi huo umefanyika kuanzia leo Machi 21,2018.
Aidha Msigwa katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine unatarajia kufanyika baadaye.

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA