MEI MOSI KITAIFA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA
Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda,Biashara,Taasisi za Fedha,Huduma na Ushauri (Tuico),kimeanza maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei mosi) mwaka 2018.

Alisema
baada ya kupewa fursa hiyo wanafanya vikao vya maandalizi na tayari wamepanga maadhimisho
hayo kwa mwaka huu.
Katibu
wa Tuico Boniface Nkakatisi,alisema maandalizi hayo yanaenda na mialiko ya
wageni watakaohudhuria ikiwamo wafanyakazi mbalimbali nchini,wanachama wa
Tuico,mabalozi kutoka nchi mbalimbali duniani.
Mwenyekiti
wa Tuico taifa,Paulo Sangeze alisema mgeni
rasmi katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa Rais John Magufuli ambapo kitaifa yatafanyika mkoani
Arusha katika Uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid.
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Comments