CUF YA MAALIM SEIF YAJIPANGA KUKABILI NJAMA ZA LIPUMBA
Naibu Mkurugenzi wa Habari,Uenezi na
Mahusiano na Umma wa CUF kwa upande wa Maalim Seif,Mbarala Maharagande amesema
Profesa Lipumba pamoja na genge lake wamepanga njama za kuwafukuza madiwani
wote wa CUF Dar es Salaam.

Hata hivyo Maharagande amedai chama
hicho kimejipanga vyema kukabiliana na njama hizo zinazotaka kufanywa na Profesa
Ibrahim Lipumba.
Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED
Comments