JESHI LA POLISI LIMEAGIZA UCHUNGUZI WA NDEGE ULIYOUA UFANYIKE

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha Mkoani Arusha limeagiza kufanyika uchunguzi kwa ndege ndogo ya aina ya CQ241 ya kampuni ya Coastal iliyo anguka na kusababisha vifo vya watu kumi na moja akiwemo na rubani wa ndege iyo aliye tambulika kwa jina moja la Dewal akiwemo na abiria kumi ambao wanafanyiwa uchunguzi wa utambuzi wa uraiya wao na majina yao. 
Kamanda Charles Mkumbo amedhibitisha kutokea kwa ajali iyo jana majira ya saa nne asubui katika eneo Empaakai Creater iliopo katika mamlaka ya ifadhi ya Ngoro Ngoro mkoani arusha wakati ikielekea safarini katika ifadhi ya Setrengeti na ndipo kupoteza mawasiliano na kuanguka chini uku chanzo chake ni kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya .
Mkumbo amesema wameagiza jopo la utafiti kuchunguza ajali iyo kwani sio mara ya kwanza kuanguka kwa ndege ya kampuni iyo ya Coastal uku ikiwa imepita miezi miwili kuanguka kwa ndege nyingine ndogo ya kampuni iyo iyo .
Amesema jeshi la polisi lilifika eneo la tukio na kufanya taratibu za kuopoa mihili ya marehemu na kusafirisha katika hospital ya mkoa wa Arusha Mount Meru kwa ajili ya ndugu na jamaa kutambua mihili iyo na taratibu za maziko kufanyika .

Kwa uapnde wa uwongozi wa kampuni iyo ya Coastal imesema kuwa tukio ilo aliusiki na uzembe wa kuto kufanya uboreshai wa mara kwa mara na siku ya juma mosi watatoa taharifa kamili ya tukio ilo.

Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA