MUIGIZAJI MAARUFU NCHINI INDIA,SALMAN KHAN AHUKUMIWA JELA MIAKA MITANO


Salman Khan (52) alishtakiwa kwa kosa la ujangili kwa kuua
wanyama hao (BlackBuck Antelopes) ambao ni wachache nchini India mnamo mwaka
1998.
Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Mail,
Salman Khan alifanya tukio hilo katika kijiji cha Kankani wakati aki-shoot filamu
yake ya Hum Saath Saath Hain akiwa na wasanii wenzake watano ambao
wameachiwa leo.
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com
Comments