MKURUGENZI MKOANI KATAVI ATAKA TV IKANUSHE HABARI ZA UONGO ILIZOTANGAZA KUHUSU HALMASHAURI YAKE

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Michael Nzyungu,amekanusha taarifa zilizotangazwa na kituo cha Televisheni cha Azam ambacho kimeripoti kuwa Halmashauri haijafikia malengo ya makusanyo ya mapato kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Bw.Nzyungu ametoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na Vyombo vya habari Ofisini kwake.

Aidha Bw.Nzyungu pamoja na mambo mengine amevishauri vyombo vya habari kutumia waandishi wenye umahiri wa kuandika habari ili kufikisha taarifa sahihi kwa jamii.

Kwa mjibu wa MkurugenziTaarifa hizo zilichukuliwa kupitia kikao cha baraza maalumu la madiwani lililokuwa likijadili rasmu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019.


Habari zaidi ni P5TANZANIA LIMITED

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA