VYOMBO VYA USAFIRI KUFANYIWA UKAGUZI

Wamiliki na madereva wa vyombo vya moto Mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha vyombo vyao vya usafiri vinafanyiwa ukaguzi.

Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya usalama Barabarani Mkoani Katavi Nassoro Alphi ambapo amesema zoezi hilo linafanyika nchi nzima na litadumu kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Amesema kuwa kwa mkoa wa katavi wameanza na magari ya abiria pamoja na Malori na ofisi ya Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani imetoa wiki tatu ya ukaguzi wa hiari nje ya hapo zoezi la kukamata litaanza.

Amesema lengo la kufanya ukaguzi huo ni kuhakikisha magari yote yanakuwa katika hali ya ubora na ambaye gari lake halitakaguliwa hata patiwa stika.


Habari zaidi ni www.p5tanzania.blogspot.com au ukurasa P5Tanzania Limited

Comments

Popular posts from this blog

HISTORIA FUPI YA ABDULRAHMAN KINANA ALIYEJUZULU UKATIBU MKUU CCM

FAHAMU HISTORIA YA JOKETI ALIYETUMBULIWA NA UVCCM

HISTORIA FUPI YA LAZARO NYALANDU ALIYEIBWAGA CCM NA KUHAMIA CHADEMA