Posts

KATIBU MWENEZI CHADEMA RUKWA NA KATAVI AHAMIA CCM

NA.Issack Gerald-Katavi Aliyekuwa Katibu mwenezi kupitia chama cha Demkrasia na Maendeleo Mikoa ya Rukwa na Katavi John Matongo ametangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho na kujiunga na Chama cha Mpainduzi CCM.

WATOTO KATAVI WATAKIWA KULELEWA MAADILI YA KUITUMIKIA TANZANIA

Image
Waislam katika sgerehe za Eid Elfitri Mjini Mpanda Wa nne kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi akishiriki Ibada ya Eid Elfitri Msikiti Mkuu wa Ijumaa Mjini Mpanda NA.Issack Gerald-Katavi Jamii Mkoani Katavi imetakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwatumikia watanzania katika utumishi wa umma wanapokuwa wakubwa.

MIL.40 KUOKOA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IGALULA WANAOSOMEA NJE WILAYANI MPANDA

Image
Wanafunzi Shule ya Msibgi Igalula chini ya Mti wakitumia mti huo kama darasa Juma Khatibu Chum akizindua vyumba vya madarasa Shule ya Msini Igalula ilyopo Wilayani Mpanda Wanafunzi wa Chekechea Igalula Wilayani Mpanda wakiwa darasani NA.Theressia Lwanji- Katavi Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Igalula unatarajia kupunguza adha ya uhaba wa madarasa katika shule hiyo na kuondoa adha hiyo inayowapata wanafunzi shuleni hapo.

JESHI LA POLISI KATAVI LAWAONYA WATAKAOSABABISHA UVUNJFU WA AMANI SHEREHE ZA EID EL FITR

Image
Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Katavi Dhahir Athman Kidavashari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) akizungumzia suala la kudumisha amani Mkoani Katavi  JESHI La Polisi Mkoani Katavi limetoa tahadhari kwa watu kutojihusisha na Vitendo vya Uvunjifu wa amani wakati wa Sherehe za Eid el Fitr inayoadhimishwa leo hapa nchini Tanzania.

YATIMA MPANDA WAPATA MSAADA,CHANGAMOTO YA FEDHA HALMSHAURI YA WILAYA YASEMA BADO KIKWAZO KUWASAIDIA YATIMA WENGI

Image
Baadhi ya watoto katika picha ambao wamepatiwa msaada Yatima wakisalimiwa na kupew zawadi ndogondogo NA.Theressia Lwaji-MPANDA KATAVI WATOTO yatima 12 kati 32  katika kijiji cha ifukutwa kata ya mpanda ndogo wa halmashauri ya wilaya ya mpanda mkoani katavi  wamepatiwa misaada ya magodoro,vyandarua na blanket.

JAMII HALMSHAURI YA WILAYA NSIMBO YATAKIWA KUWA KARIBU NA WATOTO KATIKA MALEZI

Image
Baadhi ya viongozi katika Msafara wa mwenge wa Uhuru  wakizuru mandari ya Halmshauri ya Wilaya ya Nsimbo wakati mwenge wa uhuru ulipofika katika halmshauri hiyo NA.Issack Gerald-Nsimbo Katavi Jamii katika Halmashauri ya Wilaya  ya  Nsimbo Mkoani Katavi imetakiwa kuwa na ukaribu kimalezi kwa  watoto wao ili kubaini kwa haraka vitendo vya ukatili wakati vinapotokea kwa watoto.

MGOMO DARADARA MPANDA NAULI KUPUNGUZWA,SUMATRA YASEMA WASIOTAKA NAULI ILIYOPANGWA NA SUMATRA WAPAKI MAGARI

Image
Baadhi ya daradara mjini Mpanda zikiwa zimepaki baada ya madereva  kusitisha safari  Na.Issack Gerald-Katavi Madereva wa daradara zinazosafirisha abiria kutoka Mpanda Mjini kuelekea kata ya Kakese leo wamegoma na kumlalamikia Meneja wa mamlaka ya uasafiri wa majini na nchi kavu Sumatra Mkoani Katavi kwa kushusha viwango vya nauli.